Deuteronomy 28:3-6
3 aUtabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani. 4 bUtabarikiwa uzao wa tumbo lako, na mazao ya nchi yako na wanyama wako wachanga wa kufugwa, yaani ndama wa makundi yako ya ng’ombe, na wana-kondoo wa makundi yako. 5Kapu lako na vyombo vyako vya kukandia vitabarikiwa. 6 cUtabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.
Copyright information for
SwhKC